What's Hot

Get Your Website or blog Are you finding a place to design your for your company?
call now...! The slide is a linking image Wadau na viongozi wa Wizara ya Afya Wizara ya afya

Friday, November 30, 2012

Mimi's Collection

MIMI'S IPO GOLDEN JUBELEE TOWER KARIBU NA PPF GOROFA YA KWANZA MAWASILIANO +255756887777 KARIBUNI SANA KWA HUDUMA NZURI

Amana Banki yazinduliwa rasmi

Benki ya kwanza ya Tanzania inayo fuata sharia ya Kiislam Kimamilifu....Mwenye kiti bodi ya miko ndugu haruni imesajiliwa rasmi tarehe 25/02/2011 Ikiwa na mtaji Shiringi za Kitanzania Bilioni 100 Na uliolipiwa kiasi cha shilingi za Kitanzania Billiomi 21.5" Kwamda wa mwaka mmoja imefungua Matawi Matatu Jiji Dar Es Salaam..Tandamti Karikoo/ Nyerere Road Branch Iliyopo Barabara ya Nyerere. Na Main Branch katika Jengo Golden Jubilee Tower Wanatoa huduma za Amana kwa makampuni na watu binafsi Acount ya watoto ( Nuru Acount) Acount ya Wanawake (Annisa Acount) Na Akiba kwa ajili ya nyumba za ibada....Acount ya Hija ( Hajj Akaunt Mpaka Nevember 25 Mwaka Huu Imefanikiwa kuwa na Acount 4093 na Akiba zaidi ya Shiring Billioni 35 Alisema mwekiti bwana Haroon Pirmohamed Mwaka 2013 watafungu Arusha na Mwanza.

Sunday, October 14, 2012

WWF Sweden'd annual environmental prize, Jhde award

Tanzania conservationist and anti-poaching activist-Venance Bruno Toss has been rewarded with WWF Sweden's annual environmental prize, Jihde award.
Kutoka kushoto , Kamanda mstahafu  Venance Bruno Tossi, Katibu mkuu wwf-sweden Hakan Wirten , Mke  Kamanda Tossi, Mkurugenzi wa wanymapori Paul Sarakikya, Waziri maliasili na utalii Balozi Hamis Kagasheki, Mwenyekiti Tanzania Helena Motta, Mwenyekiti pwani ya Africa Mashariki Peter Scheren








Monday, October 8, 2012

NTD CHAMPION AWARD presented to Dr. Mwele Malecela



NTD CHAMPION AWARD presented to Dr. Mwele Malecela
 In Recognition of 
Exeptional Leadership and Commitment to
the Fight Against Neglected Tropical Deseases


Dr. Mwele Malecela.



           Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR)Dkt. Mwelecele Malecela (aliyeshika tuzo katikati) ,akiwa na watumishi wenzake wa NIMR.





Sunday, October 7, 2012

.Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR)

 Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR)Dkt. Mwelecele Malecela (aliyeshika tuzo katikati) ,akiwa na watumishi wa NIMR mara baada ya kurejea katika Uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam jana,kutoka Washington DC, Marekani ambako hivi karibuni  alitunukiwa tuzo ya NTD Champion Award,kufutia juhudi zake kubwa na kujituma katika kudhibiti na kutokomeza magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (Neglected Tropical Diseases).(Picha kwa Hisani ya NIMR)

Sunday, September 23, 2012

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MPANGO WA TAIFA WA
KUTHIBITI MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE
DR.HUSSEIN MWINYI ,AKIFUNGUA BOKSI LA MADAWA.


WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Total Pageviews