What's Hot

Get Your Website or blog Are you finding a place to design your for your company?
call now...! The slide is a linking image Wadau na viongozi wa Wizara ya Afya Wizara ya afya

Wednesday, September 12, 2018






MATUKIO YA MHESHIMIWA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA BUNGENI, 10.9.2018 (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

Sunday, August 13, 2017

Bill Gates  akiwa na mratibu wa Mpango Dr Upendo Mwingira (Kulia kwake) na Mganga Mkuu wa Mkoa Dr Aisha Mahita na Kaimu Maganga Mkuu wa Muheza!Kushoto kwake ni wadau kutoka Shirika lisilo la kiserikali la IMA world health Dr Boniface Idindili na Mkurugenzi mkazi wa shirika hilo Mr Luke King.
Mgeni huyu ametembelea Kijiji cha kicheba kuona ugawaji wa kingatiba za matende na Mabusha Jana Tr 9/8/2017!
Mratibu wa Taifa wa NTDs Dr Upendo Mwingira akimtambulisha Bill gates safe ya viongozi na watumishi wa Mkoa wa Tanga,Wilaya ya Muheza,Wadau wa shirika la IMA na Kijiji cha Muheza

Mwanasheria mkuu mstaaf Mark boman na mkewe wanashukuru mungu kwa kuwawezesha kufikisha miaka 50 ya ndowa yao

Mwanasheria mkuu mstaaf Mark bomani                       na mkewe wakikata keki ya                               kutimiza miaka 50 ya ndowa yao
Chini Kuanzia kulia mwanasheria mkuu mstaaf Mark bomani,mama rupia,mama siti mwinyi,Rais mstaafu Alhaji mwinyi na mama bomani

    Kuanzia kulia waziri mkuu mstaaf Jaji        Warioba,mama bomani,mama warioba,na   mwanasheria mkuu mstaaf  Mark Bomani
       Picha ya familia watoto na wajukuu


Total Pageviews